1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yakabiliwa na shinikizo kuchukua msimamo Gaza

04:20

This browser does not support the video element.

23 Julai 2025

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anazidi kukabiliwa na shinikizo la kumtaka achukuwe msimamo mkali dhidi ya Israel huku washirika wa serikali yake mwenyewe wakimtolea mwito aliunge mkono tamko la kimataifa lililosainiwa na mataifa mbali mbali ikiwemo 28 ya Magharibi kuitaka Israel ikomeshe kabisa vita Gaza.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW