Shirika la Msalaba Mwekundu Red Cross nchini Kenya wamo katika shughuli za kuwarejesha wakaazi makwao
5 Mei 2008Matangazo
Taarifa zinaeleza kuwa kumeundwa vituo 32 vya polisi kwa lengo la kudumisha usalama katika eneo hilo. Hatua hii inachukuliwa baada ya Rais Mwai Kibaki na waziri Mkuu Raila Odinga wote wakiandamana na Makamu wa Rais kuzuru eneo hilo mwishoni mwa mwezi uliopita.Shughuli hiyo inayashirikisha mashirika ya msaada mfano Lile la Msalaba Mwekundu Redcross.
Thelma Mwadzaya alizungumza na Mkurugenzi wake Abbas Gullet ili kupata picha halisi