1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Shirikisho la Afrika Mashariki litaahirishwa kuundwa

21 Agosti 2007

Marais wa nchi tano za jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kuahirisha uundwaji wa shirikisho la Afrika Mashariki ifikapo mwaka 2013, ili kutoa nafasi kwa nchi za Rwanda na Burundi kukusanya maoni ya wananchi wake iwapo wanakubaliana na hatua hiyo.

Rwanda na Burundi ni wanachama wapya wa jumuiya hiyo. Marais hao walikubaliana hayo katika mkutano wao uliyofanyika huko Arusha nchini Tanzania.

Kutoka Arusha mwandishi wetu Charles Ngereza anaripoti zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW