1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sigara marufuku maeneo ya umma Zanzibar

21 Julai 2017

Katika kukabiliana na maradhi yatokanayo na tumbaku, ikiwemo kukithiri kwa saratani, serikali ya Zanzibar imezindua kanuni mpya ya kudhibiti matumizi ya tumbaku kama ni njia moja ya kupambana na tatizo hilo.

Mwanaume akivuta sigara
Picha: picture-alliance/blickwinkel/L. Schmidt-Eisenlohr

J3 21.07.2017 MARUFUKU YA TUMBAKU - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW