Siku ya kimataifa ya Familia
15 Mei 2009Matangazo
Siku hii ilizinduliwa rasmi mwaka 1989 kwa lengo la kuyapa kipa umbele masuala ya familia na jamii.Katika hotuba yake ya mwaka huu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon alitoa wito wa kuimarisha maisha ya kina mama kwani ndio mlezi wa kizazi kijacho.Malengo ya millennia yameyazingatia masuala ya kina mama kwa kina ila bado hatua zaidi zinahitajika kupigwa.Jee hali visiwani Zanzibar,Tanzania iko vipi?
Hilo ndilo swali Thelma Mwadzaya alilomuuliza Fathiya Zahran Salim naibu mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake katika Baraza la CUF Visiwani Zanzibar.
Mwandishi: Thelma Mwadzaya
Mhariri: Josephat Charo