1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiJamhuri ya Kongo

Siku ya wanawake: Wanawake Kongo watoa wito wa amani

02:48

This browser does not support the video element.

8 Machi 2024

Wakati wanawake duniani kote wakiwa wanatafakari juu ya namna mataifa yalivyopiga hatua kumnyanyua mwanamke katika nyanja mbalimbali, kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni tofauti, wanawake wanatoa wito kwa dunia kuliangalia taifa lao na kufikia muafaka wa amani.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW