1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Simba azaa kwa mbegu za kupandikiza

00:50

This browser does not support the video element.

13 Septemba 2018

Historia imewekwa nchini Afrika Kusini baada ya simba kuzaa watoto wawili kwa kupitia njia ya kupandikiza mbegu. Hii ni hatua ya kwanza na kubwa iliyofanywa na wataalam wa mifugo duniani katika kipindi hiki ambacho, idadi ya simba inapungua.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW