1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Simbu, Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu

03:06

This browser does not support the video element.

15 Septemba 2025

Kwa muda mrefu, Tanzania imekuwa ikitazama kwa mbali mafanikio ya majirani zake Kenya na Ethiopia ambao wamekuwa wakitawala mbio za masafa marefu duniani, hata hivyo mwanariadha Alphonce Felix Simbu, kwa ushindi wake wa dhahabu katika mbio za Marathon mjini Tokyo Japan, ameibadilisha kabisa taswira hiyo. Ushindi wake ni alama ya matumaini na mwelekeo mpya kwa riadha nchini Tanzania.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW