1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sinema katika migahawa Afrika Kusini

3 Desemba 2015

Calvin Phalaa ana umri wa miaka 24. Ana mashine ya sinema kuonyeshea filamu kwa watu wa mji alikozaliwa wa Siyabuswa. Kutokana na teknolojia ya kisasa, amekuwa bingwa wa burudani.

Symbolbild Kino Film Filmstreifen
Picha: Fotolia/raul_17

Sinema katika migahawa Afrika Kusini

03:09

This browser does not support the video element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW