1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SINGAPORE: Wolfowitz asema benki ya dunia na Singapore zimeathiriwa

15 Septemba 2006

Rais wa benki ya dunia, Paul Wolfowitz, amesema leo kwamba benki hiyo pamoja na Singapore zimeathiriwa kwa sheria kali dhidi ya watetezi waliotaka kuhudhuria mikutano ya kila mwaka ya shirika la fedha la kimataifa, IMF na benki ya dunia.

Watetezi waliokasirishwa na hatua ya Singapore kuwazuia wanaharakati 27 wasihudhurie mikutano hiyo, waliyagomea mazunguzo na kutoka nje ya mkutano.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW