1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sodo zinazotumika zaidi ya mara moja Uganda

03:59

This browser does not support the video element.

25 Oktoba 2017

Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, Sayansi na Teknolojia UNESCO inakadiria kuwa mmoja kati ya wasichana kumi Kusini mwa jangwa la Sahara hukosa kuenda shule wanapopata hedhi kwa sababu ya kukosa sodo. Msanii wa Uganda Sadat Nduhira amekuwa akiwafundisha wasichana namna ya kujitengenezea sodo kwa njia rahisi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW