1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Soka: Werder yaikaribia Schalke kileleni.

19 Machi 2007

Nchini Ujerumani , Werder Bremen imeilazimisha Mainz kusalim amri kwa mabao 2-0 na kusogea karibu na viongozi wa ligi daraja la kwanza nchini Ujerumani Bundesliga Schalke 04, kwa tofauti ya points tatu.

Katika pambano lingine jana Jumapili Bayer Leverkusen imeipiga mweleka Borussia Monchengladbach iliyoko mkiani mwa Bundesliga kwa bao 1-0.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW