1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Somalia mpya bado ina kazi pevu

24 Septemba 2012

Licha ya wabunge wa Somalia kumchagua rais mpya wa nchi hiyo na kuelekea kumaliza rasmi kipindi cha mpito na kujenga taifa imara katika Pembe ya Afrika, ukweli ulio wazi ni kwamba bad nchi hiyo ingali na safari refu.

Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.
Hassan Sheikh MohamudPicha: picture-alliance/dpa

Mohammed Abdulrahman anajadili mustakabali wa Somalia mpya chini ya rais mpya, Hassan Sheikh Mohamud. Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Makala: Mohammed Abdulrahman
Mhariri: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW