1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Somalia

Oumilkher Hamidou4 Januari 2009

Waandishi habari wawili wa kigeni waachiwa huru Puntland



Waandishi habari wawili wa kigeni,mmoja wa kiengereza na mwengine mpiga picha wa kutoka Hispania,waliotekwa nyara November 26 mwaka jana,katika eneo la kaskazini mwa Somalia, lililojitangazia utawala wa ndani-Puntland,wameachiwa huru hii leo.Habari hizo zimetangazwa na afisa wa ngazi ya juu wa polisi huko Puntland.