1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SPD yasema "ndio" kwa serikali ya mseto

01:19

This browser does not support the video element.

5 Machi 2018

Chama cha SPD ambacho ni cha pili kwa ukubwa nchini Ujerumani kimesema wanachama wake wameidhinisha kujiunga katika serikali ya mseto ya Kansela Angela Merkel, jambo ambalo limekiondoa kisiki cha mwisho kilichokuwa mbele ya muhula wa nne wa kiongozi huyo. Tazama vidio.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW