Stuttgart yaibamiza Celtic katika Ligi ya Ulaya
20 Februari 2026
Matangazo
Bilal El Khannouss aliwafungia Stuttgartmabao mawili kisha Jamie Leweling na Tiago Tomas wakafunga mabao mengine ya Stuttgart.
Celtic walipewa bao la kufutia jasho na BenjaminNygren na kushindwa huko kwa mabao 4 kulimaanisha kuwa kocha wao mpya Martin ONeill amerudi katika klabu hiyo kwa mguu mbaya, kwani ilikuwa mechi yake ya kwanza kama kocha mpya.
Kwengineko Viktoria Plzen wamesalia kuwa timu ya pekeekatika mashindnao hayo kutopoteza mechi kufikia sasa baada ya sare yao ya 2-2 na Panathinaikos ya Ugiriki.