1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sudan: Abdallah Hamdok aachia ngazi

00:56

This browser does not support the video element.

3 Januari 2022

Waziri mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok aachia ngazi. Hatua yake inaiacha Sudan katika misukosuko zaidi kisiasa tangu mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Oktoba mwaka jana. #Kurunzi. Swali kuu linalosalia katika vinywa vya watu ni je, ni vipi Sudan itajiondoa katika zogo la kisiasa linaloikabili?

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW