Sudan: Wanajeshi wa kulinda amani wauawa
15 Julai 2013Matangazo
Wanajeshi hao waliouawa ni wa Tanzania. Kauli kama hiyo imetolewa na Umoja wa Ulaya ambao umeitaka Sudan kuwachukulia haraka hatua za kisheria waliohusika. Bruce Amani amezungumza na msemaji wa jeshi la Tanzania Kapambala Mgawe ambaye kwanza alianza kwa kumueleza hisia zake kuhusiana na shambulizi hilo na jinsi hali ilivyo kwa sasa. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Bruce Amani
Mhariri: Yusuf Saumu