Serikali ya Uganda itaanzsiha mpangp wa kutoa bure kwa wananchi taa zinazotumia umeme mdogo au balbu zinazojulikana kama energy saver, ili kupunguza uhaba wa umeme nchini humo.
Vipi kupambana na uhaba wa umeme?Picha: AP
Matangazo
Kwa mengi zaidi, sikiliza ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Omar Mutasa.