1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taa mpya kwa Uganda

9 Februari 2007

Serikali ya Uganda itaanzsiha mpangp wa kutoa bure kwa wananchi taa zinazotumia umeme mdogo au balbu zinazojulikana kama energy saver, ili kupunguza uhaba wa umeme nchini humo.

Vipi kupambana na uhaba wa umeme?
Vipi kupambana na uhaba wa umeme?Picha: AP
Kwa mengi zaidi, sikiliza ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Omar Mutasa.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW