1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taliban wadhibiti mji mwingine nchini Afghanistan

01:18

This browser does not support the video element.

10 Agosti 2021

Wanamgambo wa Taliban wamechukua udhibiti wa mji mkuu mwingine wa mkoa wa kaskazini mwa Afghanistan. Huo ni mji mkuu wa sita wa mkoa kuangukia mikononi mwa Taliban katika kipindi cha siku nne zilizopita.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW