1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Ajali ya Meli Zanzibar

19 Julai 2012

Kumetokea ajali ya meli (18.07.2012) iliokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar.

Watu waliookolewa katika ajali ya Meli
Watu waliookolewa katika ajali ya MeliPicha: AP

 Katika tukio hili kubwa katika eneo la Afrika Mashariki Sudi Mnette amezungumza na mwandishi wa kujitegemea Jery Muro, Muda mfupi baada ya kutoka katika eneo la ajali mahala ambapo shughuli za uokozi zinaendelea.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi Mnette

Mhariri: Mohammed Khelef

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW