1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Dr.Steven Ulimboka arejea nchini baada ya kutibiwa Afrika Kusini

Samia Othman13 Agosti 2012

Daktari Steven Ulimboka amerejea kutoka Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa akiwa katika hali nzuri.

Tanzania ilikumbwa na mgomo wa Madaktari
Tanzania ilikumbwa na mgomo wa MadaktariPicha: picture-alliance/ dpa

Daktari Steven Ulimboka ambaye aliongoza mgomo wa madaktari kabla ya kupigwa vibaya na watu wasiojulikana, na kulazimika kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu, amerejea jana akiwa na afya njema na kusema yuko tayari kuanza tena kazi. Iddi Ssessanga amezungumza na Katibu wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Edwin Chitaga, ili kujua mengi zaidi kuhusiana na kurejea kwa Dk. Ulimboka na kwanza alianza kumuelezea kuhusiana na hali ya sasa ya Daktari huyo.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni)

Mwandishi: Iddi Ismail Ssessanga

Mhariri: Mohammed Abdul Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW