1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Timu za Tanzania na DR Kongo zikiwa mazoezini

01:11

This browser does not support the video element.

Sudi Mnette
24 Januari 2024

Taifa Stars ina kibarua kigumu cha mwisho katika mchuano wa kundi, F ikipigania ushindi kwa nguvu kubwa ili iweze kuandika rekodi mpya ya kuingia hatua ya 16 bora katika mashindano ya Afcon ya Abidjan.