Tanzania: Kuuwawa kwa watu kutokana na imani ya kishirikina
30 Mei 2012Matangazo
Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu iliyotolewa na Kituo cha Haki za Binaadamu na Msaada wa Sheria kwa wastani watu 500 wanauwawa kila mwaka. Sudi Mnette alimuuliza Msemaji wa Jeshil la Polisi nchini Tanzania Mrakibu Msaidizi Advera Senoso kwa nini hali imeendelea kuwa hivyo?#
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman,Mohammed