1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Magufuli ziarani Kigoma

21 Julai 2017

Magufuli ametoa onyo kali kwa mashirika yanayohudumia wakimbizi mkoani Kigoma kuacha tabia ya kuingia Burundi na kuwashawishi warundi kuikimbia nchi yao kwa ahadi ya kuwagawia pesa.

Tansania John Magufuli
Picha: Getty Images/AFP/D. Hayduk

RAIS MAGUFULI AONYA MASHIRIKA YA WAKIMBIZI- J1 July 22- Prosper Kwigize - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW