1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Matokeo ya uchaguzi mdogo wa Jimbol la Igunga

3 Oktoba 2011

Nchini Tanzania, uchaguzi mdogo umehitimishwa katika jimbo la Igunga mkoani Tabora kwenye Kanda ya Ziwa.

Matokeo yaonyesha hadi sasa Chama cha CCM kinaongozaPicha: AP

Uchaguzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika mazingira yaliyokuwa na ushindani mkubwa. Zoezi hilo limepita baada ya mbunge wa eneo hilo kijiuzulu . Kwa sasa shughuli ya kuhesabu kura inaendelea Igunga. Ili kuipata picha halisi Thelma Mwadzaya amezungumza na Doto Bulendo, mwandishi wa habari aliyeko Igunga kwenyewe.

Mwandishi: Thelma Mwadzaya

Mhariri: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW