Tanzania: Mkutano wa mashirika ya kidini na Taasisi za kiraia wafanyika jijini Dar es Salaam
24 Novemba 2009![](https://static.dw.com/image/2440269_800.webp)
Matangazo
Mkutano huo wa siku tatu unaofadhiliwa na wakfu wa kijerumani wa Konrad Adenauer pia unawajumuisha wasomi kutoka fani za kisiasa na utawala.Mwandishi wetu John Njogopa na ripoti kamili.
Mtayarishaji:John Njogopa
Mpitiaji:Jane Nyingi