Tanzania: Sakata la wabunge Dodoma kutaka kuiangusha serikali
23 Aprili 2012Matangazo
Jumla ya Mawaziri wanane wanakabiliwa na shutuma za ubadhirifu na baadhi ya wabunge wametishia kuitisha kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu na serikali yake. Saumu Mwasimba amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa Dr Benson Bana ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam na kwanza anaelezea mtazamo wake kuhusu sakata hili lilipofikia .
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mahojiano:Saumu Mwasimba / Dr Bana
Mhariri: Moahammed Abdul-Rahman