1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Tundu Lissu mahakamani

Elizabeth Shoo28 Juni 2016

Mwanasiasa huyo wa CHADEMA anashtakiwa na serikali ya Tanzania kwa makosa ikiwemo kula njama ya kutoa chapisho lenye uchochezi akiwa na mwandishi wa habari, mhariri na mchapishaji wa gazeti la Mawio.

Tundu Lissu wa CHADEMA
Picha: DW/M.Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.

Kesi ya uchochezi inayomkabili mwanansheria na mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, na wengine watatu akiwemo mhariri na mmiliki wa gazeti la Mawio imeendelea kutajwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam, huku ikionekana kuvutia wafuasi wengi wa kisiasa pamoja na wachambuzi wa masuala ya kisisasa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW