1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yaanza mgao mkubwa kabisa wa umeme

19 Mei 2011

Leo hii nchi ya Tanzania inaanza rasmi mgao mkubwa kabisa wa umeme, ambapo kwa muda wa masaa 16 kila siku, kuanzia leo hadi tarehe 26 mwezi huu, wakaazi katika miji mbalimbali nchini humo watakosa huduma hiyo muhimu.

Profesa Ibrahim Lipumba
Profesa Ibrahim LipumbaPicha: Mohammed Khelef

Katika mahojiano haya na Mariam Abdalla, mwanauchumi aliyebobea wa Tanzania, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, anazungumzia athari nyingi za kiuchumi zitakazolipata taifa kutokana na mgawo huo.

Mahojiano: Maryam Abdalla/Prof. Lipumba
Mhariri: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW