1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yaiaga miili ya wanajeshi wa kulinda Amani

01:52

This browser does not support the video element.

14 Desemba 2017

Tanzania imefanya hafla ya kuipa buriani miili ya wanajeshi wake wa kulinda amani waliouawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Shirika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu la HUman Rights Watch limesema polisi wa Kenya waliwabaka na kuwashambulia raia wakati wa ghasia za hivi karibuni za uchaguzi. Na vwakuu wa nchi 50 za Kiislamu wautambua Jerusalem mashariki kuwa mji mkuu wa Wapalestina

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW