Tanzania yapeleka wauza madawa Marekani
4 Mei 2017![Madawa aina ya Heroin](https://static.dw.com/image/37191255_800.webp)
Matangazo
Nchini Marekani, washukiwa hao wanakabiliwa na mashitaka ya uuzaji wa madawa ya kulevya, wakati kulikuwa na kesi ya rufaa mahakamani inayopinga kuhamishwa kwao. DW imezungumza na mmoja wa mawakili wa washukiwa hao, Majura Magafu na kwanza anaelezea tatizo liko wapi.