1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Uchumi

Tanzania yatangazwa nchi ya Pato la Kati

2 Julai 2020

Benki ya Dunia imeingiza Tanzania, Benin na Mauritania katika orodha ya mataifa ya Pato la Kati Chini na kufanya jumla ya mataifa 28 barani Afrika. Huku mataifa yenye Pato la Kati juu yakiwa 11 barani humo.

Wakazi wa Dar es Salaam
Picha: DW/E. Boniphace

Mahojiano na mchumi Bravious Kyahoza

This browser does not support the audio element.

Sudi Mnette amezungumza na mchumi Dkt. Bravious Kyahoza wa Dar es Salaam, Tanzania, na kwanza aliuilza hatua hiyo ina maana gani kwa Tanzania.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW