1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tatizo la mpaka baina ya Kongo na Angola

18 Oktoba 2007

Kumeundwa tume ya pamoja itakayo wajumuisha wataalamu wa Ubelgiji,Ureno,DRC na Angola kwa ajili ya kutatua tatizo la mpakani la miezi tisa sasa baina ya Kongo na Angola .Kikao cha kwanza kimetoka kuitishwa nchini Ubeljiji baina ya pande zote nne.

Taarifa kamili na mwandishi wetu saleh Mwanamilongo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW