1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tatizo la watoto kukosa umakini au nguvu kupita kiasi-ADHD

03:30

This browser does not support the video element.

13 Agosti 2024

Kurunzi afya leo inamulika tatizo la afya la kukosa umakini au nguvu kupita kiasi, kitaalamu likijulikana kama ADHD miongoni mwa watoto. Baadhi ya Watoto hukumbwa na tatizo hilo kuanzia umri mdogo huku wazazi wasijue kuwa ni tatizo la kiafya, ambalo kulingana na WHO liko miongoni mwa matatizo ya afya ya akili. Fathiya Omar amezungumza na wataalam mjini Mombasa. #Kurunziafya

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW