1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
HistoriaAfrika

Taytu Betul: Malkia wa Ethiopia mke wa Menelik II

02:08

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
22 Februari 2021

Taytu Betul, anaetajwa kuwa ni mmoja wa viongozi shupavu wa Ethiopia, alikuwa ni mke wa mfalme Menelik wa Pili. Malkia huyo alichangia pakubwa katika kuvishinda vikosi vya Italia, ilipojaribu kuitawala Ethiopia, na ndiye aliyetoa jina la mji mkuu wa Addis Ababa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW