1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Teknohama kuboresha utunzaji wa data za kitabibu Gabon

02:53

This browser does not support the video element.

10 Februari 2016

Aliposhindwa kupata ajira, Fabrice Yonawah aliamua kutumia ubunifu wake. Alitumia taaluma yake ya teknolojia ya mawasiliano kutengeneza program ya kompyuta ambayo inarahisisha utunzaji wa data na mawasiliano miongoni mwa hospitali nchini Gabon.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW