Teknolojia mpya ya DRM yazungumziwa mjini Kigali
8 Desemba 2006Matangazo
Siku ya tatu ya mkutano huu, leo Ijumaa, wajumbe wa redio mbali mbali za kimataifa wamejadiliana juu ya teknolojia mpya ya kupeperusha habari na matanganzo kupitia DRM. Kwa habari zaidi sikiliza ripoti ya Christopher Karenzi akiwa Kigali.