1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Televisheni ya digitali nchini DRC

01:37

This browser does not support the video element.

Saumu Yusuf/ Vollmer Gerlind 29 Juni 2015

Miaka tisa iliyopita shirika la kimataifa linalosimamia mawasiliano ya simu, ITU, liliiweka tarehe 17 ya mwezi wa Juni kuwa siku ya mataifa yote ya Afrika kuhamia katika mfumo wa digitali lakini nchi nyingi zimejikuta katika hali ya kutokuwa tayari.

Nyingi ya nchi za kanda ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara bado hazikujiandaa kuanza mfumo huo. Hata nchi ambazo kiuchumi ziko imara na mfumo wake wa mawasiliano ya televisheni kuonekana kuwa bora kama Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo zimekabiliwa na matatizo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW