1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tetemeko kubwa la ardhi kisiwani Martinique

30 Novemba 2007

Tetemeko kubwa la ardhi limetokea katika kisiwa cha Ufaransa Martinique kwenye Bahari ya Karibea. Mwanamke mmoja mzee amefariki baada ya kupata mshtuko wa moyo na watu 6 wamejeruhiwa.Tetemeko hilo lenye nguvu ya 7.4 katika Kipimo cha Richter,limeteketeza idadi kubwa ya nyumba kisiwani Martinique na hata katika kisiwa cha jirani Barbados.Kama nyumba 16,000 kiswani Martinique hazina umeme.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW