1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tetemeko la ardhi Morocco: Juhudi za uokozi zaendelea

01:31

This browser does not support the video element.

11 Septemba 2023

Juhudi za uokozi kuwapata manusura wa tetemeko kubwa la ardhi nchini Morocco zinaendelea. Zaidi ya watu 2,100 wamethibitishwa kufariki kufutia tetemeko hilo la ukubwa wa 6.8 kwenye kipimo cha Ritcher.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW