1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

The Hague. Kamanda ahukumiwa kwenda jela miaka 26.

4 Novemba 2006

Mahakama ya kuwahukumu wahalifu wa vita nchini Bosnia imemhukumu kamanda mmoja wa wakati wa vita Mserbia kwenda jela miaka 26.

Marko samardzija , mwenye umri wa miaka 70 alikutikana na hatia ya kuamuru mauaji ya Waisamu 144 wakati wa vita vya Bosnia mwaka 1992-95.

Mahakama hiyo pia imemhukumu Mserb mwingine, Nikola Kovacevic , kwenda jela miaka 12 kwa uhalifu wa kivita dhidi ya Waislamu na Wakroati katika jimbo la jirani la Sanski.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW