1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tofauti ya maisha ya mtandaoni na maisha halisi

03:30

This browser does not support the video element.

Veronica Natalis
31 Januari 2024

Takwimu za shirika la Ujerumani la kuhifadhi matumizi ya data za mitandaoni zinaonyesha kuwa zaidi ya watu bilioni 4 duniani kote wanatumia mitandao ya kijamii. Tafsiri yake ni kwamba, mitandao ya kijamii imechukua sehemu kubwa ya maisha ya watu hasa vijana. Kwenye Kurunzi Live, tunajadili kuhusu sura za watu mitandaoni. Je, unaweza kutofautisha vipi kati ya maisha ya mtu mtandaoni na uhalisia?

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW