1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Trump akiri Urusi kudukuwa uchaguzi wa Marekani

02:00

This browser does not support the video element.

6 Julai 2017

Kwa mara ya kwanza Rais Donald Trump wa Marekani akiri kwamba huenda Urusi iliingilia uchaguzi uliomuweka yeye madarakani, mataifa ya Kiarabu yajizuwia kuiongezea vikwazo Qatar na huko Kenya, marufuku yawekwa dhidi ya utumiaji wa lugha za kikabila kwenye ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) wakati huu taifa hilo likielekea kwenye uchaguzi wa Agosti 8.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW