1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Trump apewa choo cha dhahabu

00:51

This browser does not support the video element.

26 Januari 2018

Jumba moja la makumbusho mjini New York, Marekani liitwalo Guggenheim limejitolea kumpa Rais wa Marekani Donald Trump choo cha dhahabu. Choo hicho kimepewa jina "America." Papo kwa Papo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW