Trump asema amevunjwa moyo na Urusi kuhusu Ukraine
19 Septemba 2025
Matangazo
Katika mahojiano na shirika la utangazaji la Marekani Fox News, Trump pia alikosoa wanachama wa Ulaya wa jumuiya ya kujihami ya NATO kwa kuendelea kununua mafuta ya Urusi, akisema Urusi itakuwa tayari zaidi kufanya mazungumzo ya makubaliano ya amani ikiwa Ulaya itapunguza uagizaji wake wa nishati kutoka nchi hiyo.
Trump ameongeza kusema kuwa hatua hiyo ya ununuzi wa nishati ya Urusi sio makubaliano.