1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Trump atoka hospitali baada ya kutibiwa COVID-19

01:08

This browser does not support the video element.

6 Oktoba 2020

Rais wa Marekani ameondoka hospitali baada ya kutibiwa COVID-19. Rais Trump amesema anajisikia vizuri sana. Hata hivyo haijajulikana atakaa karantini kwa muda gani. Awali alisema anatarajia kurejea kwenye kampeni hivi karibuni. #Kurunzi #COVID-19

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW