1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

Trump: 'Ustaarabu mzima wa Iran kuangamizwa usiku wa leo'

Iddi Ssessanga ap,afp,rtre,dpa
7 Aprili 2026

Rais wa Marekani Donald Trump amekariri kitisho chake cha kuuangamiza ustarabu mzima wa Iran endapo hakutakuwa na makubaliano kufikia usiku wa Jumanne, huku walinzi wa Mapinduzi wakisema watashambulia mbali ya kanda.

Marekani, Washington D.C., 2026 | Trump na Hegseth katika mkutano na waandishi wa habari Ikulu ya White House
Iran inakabiliwa na muda wa mwisho uliowekwa na Trump kufungua Mlango-Bahari wa HormuzPicha: Kevin Lamarque/REUTERS
  • Trump asema 'ustarabu mzima wa Iran utaangamizwa' huku IRGC ikisema itashambulia mbali zaidi ya Kanda.
  • Iran yaripoti milipuko kwenye Kisiwa cha Kharg
  • Iran imekataa pendekezo la kusitisha mapigano kwa siku 45, ikisema inataka suluhisho la kudumu
  • Israel imewaonya raia wa Iran kuepuka kutumia treni hadi angalau saa 3 usiku kwa saa za huko

Karibu kwenye mkusanyiko wetu wa matukio ya mzozo wa kivita kati ya Marekani-Israel dhidi ya Iran, leo Jumanne, Aprili 07, 2026:

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW