1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tshisekedi: Amani imo mikononi mwa rais atakayemrithi Kagame

07:56

This browser does not support the video element.

2 Mei 2024

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi alikuwa ziarani barani Ulaya hivi karibuni. DW ilifanya mahojiano maalum na kiongozi huyo kuhusu masuala mengi. Kubwa zaidi ni mahusiano yake na taifa jirani la Rwanda na mchakato wa kurejesha amani mashariki mwa nchi yake. Tizama sehemu ya mahojiano hayo.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW