1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tumbuizo la kushinikiza magofu ya Mbuti yarejeshwe DRC

01:35

This browser does not support the video element.

23 Machi 2023

“Mizimu inarejea” ni tumbuizo la muziki linalounganisha mambo ya kale na sasa. Husimulia kisa cha magofu saba yaliyotolewa Kongo miaka ya 1950 na daktari wa Uswisi na kupelekwa Ulaya. Wasanii wanataka mabaki hayo yarudishwe, lakini baadhi ya wakaazi wanaogopa ‘mizimu’ itawafuata

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW